Kabla ya mimi naenda Tanzania, nilikuwa na meza tembe kwa malaria. Kwa Hivyo, nilitaka kufahamu malaria na kuchunguza data kuhusu malaria katika Afrika ya Mashariki.
Kushoto: Ramani ya malaria katika Afrika
Afrika ya Mashariki kuwa na jumla kubwa ya Malaria kwa sababu mbu Anopheles inaishi yako na mbu ni mchukuzi ya Malaria.
Asili: Mbu ambao wanauma watu na inahamisha malaria kupitia damu
Dalili: homa, vipapa, kuumwa na kichwa, kijasho chembamba, kigagazi, kutapika, uchovu, na mauma ya ungo.
Dalili: homa, vipapa, kuumwa na kichwa, kijasho chembamba, kigagazi, kutapika, uchovu, na mauma ya ungo.
Mazuio: Kupaka mafute ya kuwafukuza mbu, meza malaria anti-dawa, kupuliza dawa ya mbu, Chandarua ili mbu.
Dawa: Daktari kupendekeza ni Metakelfin, Fansider, na Comaquin
Dawa ya tangu zamani: Mwarubaini ni dawa ya tangu zamani katika Afrika ya Mashariki
Je, unataka kusaida kuponya Malaria? Atazuru tovuti hii na kuhariji leo!!
- http://www.malaria.org/
- http://www.surfaidinternational.org/site/pp.asp?c=ekLPK4MOIsG&b=275154
- http://www.malarianomore.org/tools.php
- http://www.fightingmalaria.gov/about/donors.html
No comments:
Post a Comment