Saturday

Mbuga za Manyara na Wanyama


Wageni wengi wanaokuja Tanzania wanapenda kutembelea mbuga za wanyama. Tanzania imebarikiwa kwa wanyama wa kila aina. Kuna mbuga kubwa tatu ambazo Tanzania imehifadhi wanyama mwitu. Mbuga hizi ni Mikumi, Manyara na Serengeti. Katika video, niliona wanyama mingi. Kuwa na fisi, pundamilla, simba, pongo, tai, chui, kima, tembo, na swala. Mbuga za wanyama Manyara ziko katika jimbo la Arusha, kaskazini Tanzania. Viongozi hawa wanawaongoza watalii katika mbuga hizi na kuwaonyesha wanyama mbalimbali. Ninataka kwenda mbuga za Manyara na kuona wanyama wingi na Serengeti! Katika Afrika Mashariki kuna wanyama mengi. Hii wanyama wanatumia mizungu kupona. Twiga kuwa na shingo ndefu kwa hivyo kuweza kula majani ya juu kabisa katika miti. Nyumbu wanakaa kwa kikundi ili kujilinda. Tembo anatumia mguu wake kukusanya majani, mkonga wake kuweka majani mdomoni na pembe zake kujilinda. Chini ya ardhi wanatoka na maji. Wanyama hakuwa ufundi, fanisha au magari. Wao wantumia vitu walizaliwa wenye.

No comments:

Post a Comment