Saturday

Kusafari ya Afrika


Cinema kwa Youtube kuhusu kusafari katika Afrika ya Mashariki!

http://www.youtube.com/watch?v=7YwXnAFWKbk


Mchezo ya Soka


Kwa watu wengi katika Afrika ya Mashariki, neno ‘football’ ni synonym kwa soka. Katika Afrika ya Mashariki, aaafrika hawacheza football kama incheza katika Amerika. Katika Afrika ya Mashariki football kama inasifika soka. Waswahili wanatia neno kandanda au soka kwa football pia. Katika Afrika ya Mashariki, wanawake hawacheza soka. Soka ni riadha kwa maboi na wanaume na watu mengi wanaona mechi ya soka katika miji sana. Wasichana na wanawake wanacheza netibol lakini soka ni riadha adimu baina ya wasichana na wanawake.

Katika cinema ya Leopards of Zanzibar, wanamume walienda kucheza kandana sana. Wao walicheza katika timu ya Leopards of Zanzibar. Timu kuwa nzuri sana na walishinda metchi mingi. Kwa hivyo, timu walitaka kwenda mashindano katika Tanzani. Lakini, wao hawalipa gharama ya kusafarikwa chombo ya Dao.

            Kwa kawaida, wanamume walivua kwa pweza mkubwa lakini sasa, wao wanavua kwa kamba. Wanavua kwa kamba kwa sababu hoteli wingi wanalipa pesa sana kwa kamba. Hatimaye, timu ya Leopards of Zanzibar kwenda Dar es Salaam kwa mashindano. Katika Tanzania, timu kushindwa katika mechi lakini kwenda nyumba kwa kiburi. Katika Zanazibar, watu wote wanapenda timu na kushangalia kwa wanamume.

Kupumzika


Katika Afrika ya Mashariki, watu wengi wanapenda kwenda pwani kupumzika. Katika mji ya Portland, mimi ninapenda kupumzika pia. Ninapenda kuona sinema, kusoma vitabu, kufuma kashida na kucheza michezo. Mchezo yangu kipenzi ni karata. Katika karata ninaweza kucheza poker, hearts, au rummy. Pia ninataka michezo ya bao. Mara kwa mara, mimi na marafiki yangu kuwa na usiku ya mchezo. Sisi tunachezo michezo minne na kunywa pombe. Mimi ninapenda kuona mchezo wa baseball. Kuona katika televishi na kuona kaka yangu anacheza baseball.

Sherehe


Katika Marekani watu kuwa na sherehe kwa nafasi wingi. Penye sherehe ya ukumbusho wa siku ya uzazi, ukumbusho wa kila mwaka, likizo lote, na majambo ya pekee. Wakati wa sherehe hizi jamii kwa kawaida kuwa na karamu na chakula, pombe, muziki, dansi, na kuzungumza nzuri. Ninapenda sherehe kwa sababu nitawaona marafiki na jamii wakati  nitakula mkate mtamu, pombe na chakula nzuri. Kwa Jamii, nitawachezo carata na dominos. 

Mbuga za Manyara na Wanyama


Wageni wengi wanaokuja Tanzania wanapenda kutembelea mbuga za wanyama. Tanzania imebarikiwa kwa wanyama wa kila aina. Kuna mbuga kubwa tatu ambazo Tanzania imehifadhi wanyama mwitu. Mbuga hizi ni Mikumi, Manyara na Serengeti. Katika video, niliona wanyama mingi. Kuwa na fisi, pundamilla, simba, pongo, tai, chui, kima, tembo, na swala. Mbuga za wanyama Manyara ziko katika jimbo la Arusha, kaskazini Tanzania. Viongozi hawa wanawaongoza watalii katika mbuga hizi na kuwaonyesha wanyama mbalimbali. Ninataka kwenda mbuga za Manyara na kuona wanyama wingi na Serengeti! Katika Afrika Mashariki kuna wanyama mengi. Hii wanyama wanatumia mizungu kupona. Twiga kuwa na shingo ndefu kwa hivyo kuweza kula majani ya juu kabisa katika miti. Nyumbu wanakaa kwa kikundi ili kujilinda. Tembo anatumia mguu wake kukusanya majani, mkonga wake kuweka majani mdomoni na pembe zake kujilinda. Chini ya ardhi wanatoka na maji. Wanyama hakuwa ufundi, fanisha au magari. Wao wantumia vitu walizaliwa wenye.

Sunday

Swahili 202 Oral Final

Huyu ni linki ya Oral Final ya Noni!!!

www.youtube.com/watch?v=jEEgvrQLK6Y


Saturday

Dansi ya Maasai katika Tanzania


Leo, niliona video kuhusu dansi katika Tanzania. Nilitafuta na kuona video mingi kwa Maasai wacheza ngoma. Katika Afrika, watu kwa kawaida wanaona dansi ya maasai kuitwa dansi ya urukaji. Dansi hiki ni wanafanya kwa wanaume katika kijiji. Wao watamba hewani na kujiona afia na hima kama asikari. Kila ghulamu atachupa kama juu kama yeye kuweza maadam vingine wanasimika katika mviringo na kuimba. Wimbaji kufaa kubwa zaidi kama urukaji kufaa juu sana. Katika lugha ya Maasai, dansi hii kuitwa "adumu." Ninataka kugawa kwa ninyi:

Malaria katika Afrika ya Mashariki


Kabla ya mimi naenda Tanzania, nilikuwa na meza tembe kwa malaria. Kwa Hivyo, nilitaka kufahamu malaria na kuchunguza data kuhusu malaria katika Afrika ya Mashariki.

Kushoto: Ramani ya malaria katika Afrika





Afrika ya Mashariki kuwa na jumla kubwa ya Malaria kwa sababu mbu Anopheles inaishi yako na mbu ni mchukuzi ya Malaria.

Asili: Mbu ambao wanauma watu na inahamisha malaria kupitia damu

Dalili: homa, vipapa, kuumwa na kichwa, kijasho chembamba, kigagazi, kutapika, uchovu, na mauma ya ungo.

Kuchaga: Habari za 60% ya malaria kesi ya duniani kote na juu ya 80% ya kifo ya malaria yaduniani kote kutokea katika Afirka ya Mashariki

Mazuio: Kupaka mafute ya kuwafukuza mbu, meza malaria anti-dawa, kupuliza dawa ya mbu, Chandarua ili mbu.

Dawa: Daktari kupendekeza ni Metakelfin, Fansider, na Comaquin

Dawa ya tangu zamani: Mwarubaini ni dawa ya tangu zamani katika Afrika ya Mashariki
Je, unataka kusaida kuponya Malaria? Atazuru tovuti hii na kuhariji leo!!




























Gharama ya Usafirisha ya Hadhira Katika Tanzania na Mji ya Portland

Kabla ya nitasafiri Tanzania, nilitaka kulinganisha gharama ya usafirisha katika nchi ya tanzania na mji ya Portland. Chini ya, nilichunguza gharama yote ya usafirisha. Ninatumaini kazi wangu kusaida nyini.

Tanzania
Miguu -- Sabili
Dala Dala -- Centi .15-.20
Gari -- $2.39/galoni

Baisikeli -- Sabili
Taxi -- Kutegemea usafari

Taxi $2.30/maili


Kupendeka sana katika Tanzania: Matatu

Mji ya Portland
Miguu -- Sabili
Basi -- $4.75/day
Gari -- $2/galoni
Maxi/streetcar -- $4.75/day
Baisikeli -- Sabili
Taxi -- $2.30/maili

Kupendeka sana katika Mji ya Portland: Maxi na Baisikeli

Ninaishi mji ya Portland na kutegemea kwa miguu, maxi/streetcar, na gari. Inategemea ninaenda wapi.
Ingawa, mimi naenda Tanzania, sikujua nini kutegemea.